Limit this search to....

Idara YA Usalama Wa Taifa: Ni Chombo Cha Mauaji?
Contributor(s): Chilewa, Godwin (Author)
ISBN: 0692364013     ISBN-13: 9780692364017
Publisher: Gostch Publishers
OUR PRICE:   $11.87  
Product Type: Paperback - Other Formats
Language: Swahili
Published: January 2015
Qty:
Additional Information
BISAC Categories:
- Political Science | Law Enforcement
Physical Information: 0.47" H x 5" W x 8" (0.50 lbs) 224 pages
 
Descriptions, Reviews, Etc.
Publisher Description:
Idara ya usalama wa Taifa ni chombo cha mauaji? Ilihusika vipi na vifo vya marehemu Horace Kolimba, Profesa Kighoma Ali Malima na Mzee Mahimbo? Kwa nini imeshindwa kuwadhibiti mafisadi, wauzaji wa madawa ya kulevya, wahujumu uchumi na wahalifu wengine nchini? Kwa nini wananchi wamekosa imani na idara hii? Je chombo hiki bado kinahitajika katika Tanzania ya leo? Mwandishi Godwin Chilewa anajibu maswali hayo pamoja na mengine mengi.