Safari YA Juma: Riwaya YA Kijana Wa Kiafrika Aliyefunga Safari Ili Kumtafuta Mungu Nchini Tanzania Contributor(s): Scroggins, Edwin W. (Author), Emmanuel, Ysuph R. (Translator) |
|
ISBN: 1499359861 ISBN-13: 9781499359862 Publisher: Createspace Independent Publishing Platform OUR PRICE: $9.49 Product Type: Paperback Language: Swahili Published: May 2014 |
Additional Information |
BISAC Categories: - Juvenile Fiction | Action & Adventure - Survival Stories |
Physical Information: 0.29" H x 5.25" W x 8" (0.32 lbs) 134 pages |
Descriptions, Reviews, Etc. |
Publisher Description: UNAWEZA KUTEMBEA UMBALI KIASI GANI UKIWA PEKU? Mwandishi wa "Safari ya Juma" anakualika uifuatilie simulizi ya kijana Juma aliyetembea peku umbali wa kilomita 1529 kutoka Mbeya iliyopo kusini hadi Arusha iliyopo kaskazini mwa Tanzania. Masaa kadhaa kabla ya kufariki, Juma alimwahidi mamake kuwa angemtafuta mzungu mmishenari aliyeko Mbeya ili amweleze habari za Yesu. Juma agundua kua yule mzungu ameishaondoka Mbeya kuelekea Arusha na hivyo hana budi kumfuata huko ili kuitunza ahadi aliyomwahidi mama yake ambaye sasa ni marehemu. Katika safari hii hatari, Juma akumbana na vipingamizi vingi vya kimwili na kiroho pia. Utamhurumia anapokumbana na chui na kulengwa na majangili, anapotekwa na kutumikishwa kiutumwa. Je atasalimika kutoka katika mikono ya mbwa-mwitu wakali wanaomwinda msituni? Akiwa amepoteza fahamu na ni mgonjwa amelala kando ya barabara, Je kuna matumaini yeyote ya kuokolewa? Je, atafika Arusha? Soma kitabu hiki ili kupata majibu |