Mungu Hakopeshwi Contributor(s): Baharoon, Zainab Alwi (Author) |
|
ISBN: 9987753930 ISBN-13: 9789987753932 Publisher: Mkuki na Nyota Publishers OUR PRICE: $19.86 Product Type: Paperback Language: Swahili Published: December 2017 |
Additional Information |
BISAC Categories: - Fiction | Native American & Aboriginal |
Physical Information: 0.63" H x 5.06" W x 7.81" (0.50 lbs) 254 pages |
Descriptions, Reviews, Etc. |
Publisher Description: Riwaya ya Mungu Hakopeshwi inaelezea maisha ya familia moja ya Unguja iliyoingia katika mitafaruku na mikasa mingi. Kila kitu huwa na chanzo na khatima; basi ni nini chanzo cha mitafaruku hiyo na khatima yake ilikuwaje? Simulizi ni juu ya baba, Bw. Ahmed, mwenye hasira kali zisizo na mipaka, aliyeongoza familia yake kwa utashi wa nafsi yake, bila kujali hisia za mkewe wala wanawe. Kumbe moyoni mwake alihifadhi siri, na hiyo siri ndiyo iliyomfanya Bw. Ahmed kuwa mkali bila kiasi, ikimsukuma azuie kurejea kwa yale yaliyomfika zamani. Lakini kivuli cha historia ya maisha yake ya nyuma hakikuacha kumuandama. Riwaya hii i meandikwa kwa lugha nzuri na fasaha, kwa ufundi wa msanii makini na mwelewa wa maisha ya jamii za Kizanzibari na za mwambao kwa jumla. |